Tuesday, 2 July 2013

RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA AMEREJEA MAREKANI LEO




Gari lililombeba Rais Obama likielekea Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere baada ya kumaliza ziara yake.



Rais Obama na mkewe michelle Obama wakipunga mikono kbla ya kuanza safari








Gari lililombeba Rais Obama likielekea Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere baada ya kumaliza ziara yake.

Msafala wa Rais obama ukipita maeneo ya buguruni kuelekea uwanja wa ndege

No comments:

Post a Comment