Monday, 27 May 2013

BAYERN WAKISHANGILIA UBINGWA LONDON,WAKIONGOZWA NA Heynckes na Scheinsteger

baye2 c4886
Kombe

baye3 1d79c

baye4 3c4e5

baye5 3e279
baye6 59c3a
baye7 78d6b
baye8 5cda3
baye c6eb8
Baada ya wekundu wa kusini mwa Ujerumani, `The Bavarian`, Bayern Munich na mabingwa wa Bundesliga msimu wa 2012/2013 kutwaa ubingwa wa ligi ya mabingwa barani ulaya usiku wa kuamkia leo kwa kuwatandika Nyuki wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyi Borussia Dortmund mabao 2-1, wamepiga bonge la sherehe na kuwaacha Waingereza wakiduwaa katika ardhi yao.

No comments:

Post a Comment