Kombe
Baada ya wekundu wa kusini mwa Ujerumani, `The Bavarian`, Bayern Munich na mabingwa wa Bundesliga msimu wa 2012/2013 kutwaa ubingwa wa ligi ya mabingwa barani ulaya usiku wa kuamkia leo kwa kuwatandika Nyuki wa kaskazini mashariki mwa nchi hiyi Borussia Dortmund mabao 2-1, wamepiga bonge la sherehe na kuwaacha Waingereza wakiduwaa katika ardhi yao.
No comments:
Post a Comment