Friday, 24 May 2013

Wasanii watakaotumbuiza kwenye show ya ufunguzi wa Big Brother Africa watajwa

Stella Mwangi
Miongoni mwa wasanii watakaotumbuiza kwenye ufunguzi huo ni pamoja na STL wa Kenya, Don Jazzy, D’ Prince na Wande Coal kutoka Nigeria na kundi la Mafikizolo la Afrika Kusini.
Wande-Coal-Album
Pia mchekeshaji wa Kenya Daniel Ndambuki, maarufu kama Churchill atapanda kwenye stage kuwavunja mbavu watazamaji wa show hiyo katika nchi 50 barani Afrika. Show hiyo itaonekana live pia kupitia website ya Big Brother, www.bigbrotherafrica.com

No comments:

Post a Comment