Kutokana na JIDE kuwa na show yake kubwa mnamo tarehe 31 mwezi huu pale nyumbani lounge ,Sasa rafikiye wa karibu sana MwanaFA inaonyesha naye ameanda show yake siku hiyohiyo ya Tarehe 31,Zaidi ya yote mwana FA akawachukua wasanii walio jitoa katika show ya JIDE kama Linnah sa kutokana na sitofahamu hiyo mtandao huu wa thechoicetz uliweza kumtafuta JIDE kupitia twitter na kumuu liza juu ya hili swala naye aliweza kutoa yake anayo yafikiria,pia mtandao huu wa thechoicetz ulimtafuta MwanaFA lakini mwanaFA hakuweza kutujibu swali tulilo muuliza hadi muda huu.
Saturday 25 May 2013
LADY JAY DEE AMSHANGAA MWANA FA KWA ALICHOKIFANYA: SOMA ALIICHOKISEMA
Kutokana na JIDE kuwa na show yake kubwa mnamo tarehe 31 mwezi huu pale nyumbani lounge ,Sasa rafikiye wa karibu sana MwanaFA inaonyesha naye ameanda show yake siku hiyohiyo ya Tarehe 31,Zaidi ya yote mwana FA akawachukua wasanii walio jitoa katika show ya JIDE kama Linnah sa kutokana na sitofahamu hiyo mtandao huu wa thechoicetz uliweza kumtafuta JIDE kupitia twitter na kumuu liza juu ya hili swala naye aliweza kutoa yake anayo yafikiria,pia mtandao huu wa thechoicetz ulimtafuta MwanaFA lakini mwanaFA hakuweza kutujibu swali tulilo muuliza hadi muda huu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment