Saturday 22 June 2013

HIVI NDIVYO ILIVYO KUWA KATIKA SHOW YA MIAKA 13 YA KIKOSI CHA MIZINGA(NEW MSASANI DSM)



Chid Benz akikonga nyoyo za mashabiki wake wakati wa shoo ya Kikosi cha Mizinga kutimiza miaka 13 iliyofanyika katika ukumbi wa New Msasani jijini Dar es salaam.

Chid Benz
Fukuda akichana mistari

Katibu wa CUF, Julius Mtatiro ambaye alikuwa mgeni rasmi akizungumza wakati wa shoo maalumkundi la muziki wa Hip Hop la Kikosi cha Mizinga kutimiza miaka 13.


Baadhi ya watu waliotoa mchango mkuwa kwa wasanii wa Kikosi cha Mizinga walipewa vyeti, hapa mwandishi Joseph Zablon akionesha cheti chake baada ya kukabidhiwa ba mgeni rasmi.
Mwakilishi wa Clouds Radio akipokea cheti.


Kala Pina 'Nabii Koko' akitumbuiza





Afande Sele akipagawisha mashabiki.

No comments:

Post a Comment